Furukombe ni ndege mkubwa, na ule wa kike ana uzani wa kilo 3.2-3.6 (paundi 7-8) na ni mkubwa kuliko ule wa kiume ambaye ana uzani wa 2-2.5kg (paundi 4.4-5.5). Ndege wa kiume kawaida huwa na mabawa yenye upana wa mita 2 (futi 6), huku ndege wa kike wakiwa na mabawa yenye upana wa mita 2.4 (futi8). Urefu wao ni sentimita 63-75 (incha 25-30). Wao huweza kutofautishwa rahisi sana na ndege wengine huku miili yao ikiwa ya rangi ya kahawia, na mabawa yao meusi huwa na nguvu nyingi. Kichwa, kifua na mkia ya furukombe wote ina rangi nyeupe kama theluji na mdomo uliojipinda, ambao mara nyingi ni wa rangi ya samawati lakini ncha yake huwa nyeusi.
Furukombe ana urefu kiasi gani?
Ground Truth Answers: sentimita 63-75sentimita 63-75 (incha 25-30)sentimita 63-75
Prediction: